Uhuru Savagely tears Joho into pieces

President Uhuru Kenyatta

In a political rally characterized by pomp and colour, tononoka grounds was on Sunday all ‘Jubilee-red’.
President Uhuru took to the stage slamming Governor Joho savagely amidst cheers.

Joho had planned to hold a parallel political rally just a few meters from Tononoka in Mvita grounds in a show of might but was denied permit to avoid unwanted confrontation between supporters.

President uhuru did not mince his words tearing down Joho into pieces..”Baadala uambie watu wa Mombasa umewafanyia nini hiyo miaka nne unazunguka ukitusi rais na makamu wake ….ukijiita Sultan…Sultan kitu gani? bure!!..ambia wananchi 40 billion umefanyia nini?” Said  Uhuru Kenyatta referring to Joho.

Kila mradi tukifanya huyu gavana wenu anajipenyeza pale apigwe picha, alafu tukiondoka anasema miradi ni ya pesa za wazungu, Mara ni fake sijui ni haki yenu, na hawaambii alichofanya na bilioni 40 alizopata kutoka kwa serikali kuu” continued Uhuru

Nikiulizwa nilichokifanya, nitasema wazi miradi ya Jubilee, huyu wenu wa hapa kazi ni kujipiga kifua na kujiita Sultani, sultani wa saa ngapi jamani kama huwezi wajibika kwa hawa wananchi waliokupa kazi?” Said Uhuru Kenyatta.

Leave a comment